Back to home
Gachagua azua mjadala kwa matamshi yake kwa wakaazi wa Mathira
video
C
Citizen TV (Youtube)August 18, 2026
2h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua jioni ya leo amekuwa wa punde kuwekwa kwenye darubini kuhusiana na matamshi yake kwa wakaazi wa Mathira alikowataka wakaazi kuwazuia maajenti wowote wa UDA kwenye vituo vya kupigia kura eneobunge hilo.
Gachagua alitoa matamshi yake hapo jana huko W
Advertisement
Advertisement




