Back to home
Mashindano ya kandanda ya amani yazinduliwa Tot kaunti ya Elgeyo Marakwet
video
C
Citizen TV (Youtube)August 19, 2026
2h ago
Katika juhudi za kuimarisha amani katika kaunti zilizokuwa zinashuhudia utovu wa usalama mara kwa mara,serikali yazindua mashindano ya mchezo wa kandanda yanayounganisha kaunti tisa katika eneo la Tot kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Advertisement
Advertisement





