Back to home

Samburu: Miili minne kati ya saba ya watu walioangamia kwenye mkasa wa ndege yaopolewa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 19, 2026
19h ago
Miili minne kati ya saba ya watu walioangamia kwenye mkasa wa ndege eneo la Mlima Ololokwe, Kaunti ya Samburu, imeopolewa, huku miili mitatu ikishindikana kuopolewa leo baada ya kutegwa kwenye vifusi vya ndege hiyo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement