Back to home

Ruto aagiza kupitiwa upya kwa mikataba ya wahudumu wa afya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 19, 2026
1h ago
Mkutano wa kwanza wa Afya nchini umekamilika huku serikali ikiahidi kulainisha mapungufu ya sekta ya afya nchini. Mdahalo mkubwa ukiibuka kuhusu migomo ya mara kwa mara ya wahudumu na kutotekelezwa kwa mikataba ya miaka ya nyuma. Na kama Mary Muoki anavyoarifu, Rais Ruto ameagiza
Advertisement