Back to home
Viongozi wa makanisa Teso walalamikia kupuuzwa na serikali ya Ruto
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 20, 2026
2h ago
Viongozi wa makanisa ya Kipentekoste kutoka eneo la Teso kaunti ya Busia wamelalamikia kupuuzwa na serikali ya Rais William Ruto kwa kutowashirikisha katika masuala ya maendeleo ya kitaifa na misaada ya serikali.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today a
Advertisement
Advertisement





