Back to home

Driftwood Sevens kuelekea Mombasa huku KCB RFC ikiongoza kundi B

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Mkondo wa nne wa msururu wa kitaifa wa raga ya wachezaji saba unaelekea Mombasa kwa mashindano ya driftwood sevens mwishoni mwa wiki huku viongozi wa msururu KCB RFC wakiwa kileleni katika kundi 'B'.
Advertisement