Back to home
Kenya Kwanza yapuuza wito wa upinzani kwa ICC kuchunguza visa vya uhuni
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2026
2h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza sasa wanasema hawatishwi na vitisho vya wenzao wa upinzani kutaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi kuhusu visa vya uhuni vinavyoshuhudiwa nchini.
Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, Kimani Ichung’wah, amewakemea viongozi
Advertisement
Advertisement




