Back to home

Kenya Police Bullets kuelekea Rwanda kwa mechi za kufuzu CECAFA CAF 2026

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Kenya Police Bullets, wanaelekea Kigali, Rwanda, kushiriki katika mechi za kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa wa Wanawake ya CECAFA CAF 2026. Timu kumi kutoka eneo la CECAFA zimethibitisha kushiriki katika mashindano hayo ya kufuzu.
Advertisement