Back to home
Mashirika ya kijamii Garissa yahamasisha jamii kuhusu athari ya ukeketaji miongoni mwa wasichana
video
C
Citizen TV (Youtube)August 21, 2026
1h ago
Mashirika ya kijamii pamoja na maafisa wa serikali katika mji wa Garissa waongoza matembezi ya hamasisho kuhusu madhara ya ukeketaji miongoni mwa wasichana katika kaunti hiyo.
Advertisement
Advertisement





