Back to home

Gachagua ataka FBI, Scotland Yard kuchunguza kifo cha Johana Ng’eno

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 21, 2026
1h ago
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ameibua maswali kuhusu kifo cha aliyekuwa mbunge wa Emurwa Dikirr Johana Ngeno. Gachagua sasa anataka idara za ujasusi za kimataifa zikiwemo FBI na Scotland Yard kuchunguza kifo hicho, akisema hana imani na uchunguzi wa makachero wa humu n
Advertisement