Back to home
Malkia Strikers waimarisha maandalizi kuelekea mashindano ya Bara Afrika
video
C
Citizen TV (Youtube)August 21, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya voliboli ya wanawake, Malkia Strikers, sasa inaboresha mazoezi yao kabla ya mashindano ya wanawake ya Bara Afrika kung’ang’ania siku ya Jumapili. Mashindano hayo pia ni mchujo wa Michezo ya Olimpiki ya Los Angeles ya mwaka 2028.
Advertisement
Advertisement





