Back to home

Tusker FC yatwaa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 23, 2026
2h ago
Mabingwa wa Kombe la FKF, Tusker FC, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia kwa mabao 3-1. Mechi hiyo ya kufungua msimu wa soka nchini ilichezwa katika Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo.
Advertisement