Back to home
Tusker FC yatwaa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia
video
C
Citizen TV (Youtube)August 23, 2026
2h ago
Mabingwa wa Kombe la FKF, Tusker FC, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia kwa mabao 3-1.
Mechi hiyo ya kufungua msimu wa soka nchini ilichezwa katika Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo.
Advertisement
Advertisement





