Back to home

Gachagua: Kuna njama ya kugawanya kura za Mlima Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 23, 2026
2h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua anadai kuna njama ya kugawanya kura za Mlima Kenya ili kuzuia ushindi katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza wakati wa ibada ya Jumapili mjini Karatina, Gachagua amewarai wakazi wa Mlima Kenya kukataa njama hiyo na kuungana, akisema mgawanyiko utam
Advertisement