Back to home

Wakazi Manyatta Gidha walalamikia ukosefu wa miundombinu Marsabit

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 24, 2026
1h ago
Wakazi wa kijiji cha Manyatta Gidha eneo bunge la Saku kaunti ya marsabit wamelalamikia serikali kuu na ile ya kaunti kwa kushindwa kujenga miundomsingi kama barabara .
Advertisement