Back to home
Jamii ya Aulihan yapinga mfumo wa demokrasia ya maelewano
video
C
Citizen TV (Youtube)August 24, 2026
1h ago
Viongozi kutoka jamii ya Aulihan wamepuuza mfumo wa demokrasia ya maelewano unaotumiwa katika baadhi ya maeneo, wakisema dhana hiyo inawanyima wananchi haki ya kufanya maamuzi yao wenyewe.
Advertisement
Advertisement




