Back to home
Mshukiwa wa sita katika kesi ya Brian Odhiambo ajitetea mahakamani
video
C
Citizen TV (Youtube)August 24, 2026
1h ago
Mshukiwa wa sita kwenye kesi ya kutoweka kwa mvuvi Brian Odhiambo mwezi Januari mwaka jana, Francis Wachira, alikuwa na kibarua kigumu kueleza matukio yaliyojiri kabla ya kutoweka kwake.
Sajenti Wachira, ambaye alikuwa msimamizi wa maafisa wa KWS, alijitetea mahakamani kuhusu ma
Advertisement
Advertisement




