Back to home
Kanisa katoliki Kitengela laongoza wito wa amani kuelekea uchaguzi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Kanisa katoliki katika mji wa Kitengela, kaunti ya Kajiado, limeendelea kutoa wito kwa vijana, jamii na viongozi wa kisiasa nchini kukumbatia amani na utangamano, hasa wakati huu ambapo taifa linaendelea kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Wito huo ulitolewa wakati wa awam
Advertisement
Advertisement





