Back to home

Busia: wauguzi na maafisa wa kliniki waandamana na kukita kambi nje ya afisi za magavana wa kaunti

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 25, 2026
1h ago
Huku mgomo wa wauguzi na maafisa wa kliniki katika Kaunti za Busia na Kakamega ukiendelea, maafisa hao wameandamana na kukita kambi nje ya afisi za magavana wa kaunti hizo, wakizilaumu serikali za kaunti kwa kuwapuuza. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news to
Advertisement