Back to home

Vihiga: Ajuza wa miaka 96 ateketea ndani ya nyumba yake

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 25, 2026
1h ago
Huzuni imetanda katika Kijiji cha Lwombei, Kata ya Gisambai, Kaunti ya Vihiga, baada ya ajuza mwenye umri wa miaka 96 kupoteza maisha kwa kuteketea ndani ya nyumba yake usiku. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get th
Advertisement