Back to home
Gachagua atetea ushindani ndani ya Muungano wa Upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua ametetea ushindani ndani ya Muungano wa Upinzani, akisema kila chama kinafaa kuwa na uhuru wa kusimamisha wagombea kokote nchini.
Akizungumza alipompokea Mbunge wa Kamukunji Yusuf Hassan aliyejiunga na DCP leo, Gachagua alisisitiza kuwa Muungano wa
Advertisement
Advertisement





