Back to home

Familia moja kaunti ya Mombasa yalilia haki baada ya jamaa yao kupatikana amechomeka ndani ya nyumba

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
2h ago
Familia moja kaunti ya Mombasa yalilia haki baada ya jamaa yao kupatikana amechomeka ndani ya nyumba mtaani mikindani. Tukio hilo la tarehe 14 Agosti ladaiwa kuchangiwa na ugomvi kati ya marehemu na mkewe. Inaarifiwa kuwa mshukiwa alimwagiwa petroli na kuteketezwa ndani ya nyumba
Advertisement