Back to home
DIG Lagat aongoza mkutano wa maafisa wa polisi kujadili usalama Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 26, 2026
1h ago
Naibu ispekta jenerali wa polisi Eliud Lagat leo amefanya mkutano na maafisa wa kuu wa polisi katika kitovu cha usalama jijini nairobi maarufu nairobi region command. mkutano huo umeangazia mikakati ya usalama, makabiliano dhidi ya magenge pamoja na maslahi ya maafisa wa usalama.
Advertisement
Advertisement





