Back to home

Familia ya Mombasa yadai haki baada ya jamaa yao kuchomeka nyumbani

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Familia moja Kaunti ya Mombasa inalilia haki baada ya jamaa yao kupatikana amechomeka ndani ya nyumba mtaani Mikindani. Tukio hilo la tarehe 14 Agosti linadaiwa kuchangiwa na ugomvi kati ya marehemu na mkewe. Inaaarifiwa kuwa mshukiwa alimwagiwa petroli na kuteketezwa ndani ya ny
Advertisement