Back to home

Kinara wa chama cha wiper Kalonzo ataka IEBC iwe wazi kuelekea uchaguzi wa 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 27, 2026
1h ago
Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesema kuwa upinzani utafuatilia kwa karibu sana uchaguzi ujao ili kuzuia visa vya kila mara vya wizi wa kura. Kalonzo ameitaka IEBC kuwa na uwazi kwenye mchakato mzima wa maandalizi ya uchaguzi ili kuzuia mtafaruku na kuleta imani kuwa
Advertisement