Back to home
Vyuo vikuu vya umma vyasajili wanafunzi bila mwongozo wa karo
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Vyuo vikuu vya umma nchini vimejipata kwenye njia panda vikilazimika kuwasajili wanafunzi wa mwaka wa kwanza bila kuwa na mwongozo rasmi wa karo. Katika chuo kikuu cha Eldoret, imewasajili wanafunzi 8,000 ilhali kuna nafasi 2,000 pekee za malazi. Naibu chansela wa chuo hicho Thom
Advertisement
Advertisement





