Back to home
Wafanyakazi Kitui wakabiliwa na ugumu baada ya kukosac kwa miezi miwili
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Wafanyakazi wa kaunti ya Kitui wamekuwa wakikumbwa na wakati mgumu wa kugharamia mahitaji yao ya msingi, ikiwemo kuwarudisha watoto wao shuleni na kulipa kodi za nyumba, baada ya kukosa mishahara kwa muda wa miezi miwili sasa.
Advertisement
Advertisement





