Back to home

Wakazi Kihurure walalamikia kisima cha maji kisichofanya kazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 27, 2026
1h ago
Wakazi wa kijiji cha Kihurure katika Wadi ya Kaimbaga, eneo mbunge la Ol-Kalou, wamelalamikia kisima cha maji ambacho hakifanyi kazi, licha ya kuchimbwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.
Advertisement