Back to home
Wakazi Kihurure walalamikia kisima cha maji kisichofanya kazi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Wakazi wa kijiji cha Kihurure katika Wadi ya Kaimbaga, eneo mbunge la Ol-Kalou, wamelalamikia kisima cha maji ambacho hakifanyi kazi, licha ya kuchimbwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.
Advertisement
Advertisement




