Back to home

Upinzani wakosoa utekelezaji wa Katiba miaka 16 baadaye

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 27, 2026
2h ago
Hata hivyo, kwa viongozi wa upinzani na wanaharakati wa kutetea haki, hakukuwa na mengi ya kusherehekea siku hii ya kuangazia hatua zilizopigwa katika utekelezaji wa Katiba ya sasa. Majaji wakuu wastaafu David Maraga na Willy Mutunga ni miongoni mwa wanaozidi kulalamikia ukiukaji
Advertisement