Back to home

Vijana katika kaunti ya Trans Nzoia waandaa kongamano la siku moja

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 28, 2026
2h ago
Vijana katika kaunti ya Trans Nzoia waandaa kongamano la siku moja katika eneo bunge la Cherang’any kujadili mustakabali wao, fursa za ajira na namna ya kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.
Advertisement