Back to home

Waathiriwa wa ukatili wa polisi wapuuza kauli ya Ruto ya kujutia dhulma

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 28, 2026
1h ago
Waathiriwa na manusura wa ukatili wa polisi wamepuuzilia mbali kauli ya Rais William Ruto ya kujutia dhulma dhidi yao, wakitaka hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya wahusika katika mauaji na kutoweka kwa Wakenya. Wakizungumza jijini Nairobi, waathiriwa hao wametaka uchunguzi huru
Advertisement