Back to home
Washukiwa watatu wazuiliwa baada ya mtoto wa wiki mbili kutoweka Kibera
video
C
Citizen TV (Youtube)August 28, 2026
1h ago
Washukiwa watatu wanazuiliwa na polisi kuhusiana na wizi wa mtoto wa wiki mbili anayedaiwa kuachwa kwenye kituo kimoja cha matibabu mtaani Kibera. Matukio hayo yalinaswa kwenye kamera za CCTV, huku mshukiwa mmoja akidaiwa kuwapotosha wapelelezi ambao bado wanamtafuta mtoto huyo a
Advertisement
Advertisement





