Back to home

Wanariadha nyota kuwania Sydney Marathon Jumapili

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 28, 2026
2h ago
Mbio za Sydney Marathon za Jumapili nchini Australia zitawakutanisha wanariadha wanawake wenye uzoefu, wakiwemo bingwa wa dunia Peres Chepchirchir, Irene Cheptai, Stella Chesang wa Uganda na bingwa wa zamani wa dunia wa mita 5,000, Vivian Cheruiyot.
Advertisement