Back to home

Kenya Kwanza yaitaka IEBC kupuuza madai ya wizi wa kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 30, 2026
2h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza sasa wanaitaka Tume ya Uchaguzi nchini IEBC kutobabaishwa na kelele za wanasiasa wa upinzani kuhusu wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu ujao. Badala yake, Naibu Rais Kithure Kindiki amesema upinzani unababaishwa na karata za siasa za urais mwaka ujao. Aidha
Advertisement