Back to home
Jamii ya Abkey Warfay yamteua tena Mbunge wa Lafey Mohamed Abdikheir
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
1h ago
Jamii ya Abkey Warfay, kutoka jamii ya Murule Weytan katika Kaunti ya Mandera, imemtawaza rasmi Mbunge wa Lafey, Mohamed Abdikheir, kuwa chaguo lao kwa mara ya pili katika uchaguzi mkuu wa 2027.
Advertisement
Advertisement




