Back to home

Walimu wa chekechea Nyamira waandamana kutaka nyongeza ya mishahara

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 31, 2026
1h ago
Mamia ya walimu wa chekechea katika kaunti ya Nyamira wameandamana mjini Nyamira kushinikiza serikali ya kaunti hiyo kutekeleza nyongeza ya mishahara yao kulingana na SRC.
Advertisement