Back to home
St. Joseph Starlets na LYSA watawazwa mabingwa wa Safaricom Chapa Dimba Kanda ya Kati
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
2h ago
Timu za St. Joseph Starlets kutoka Murang’a na Laikipia Youth Soccer Academy (LYSA) zimetawazwa mabingwa wa toleo la tano la mashindano ya Safaricom Chapa Dimba Kanda ya Kati baada ya kushinda fainali zilizochezwa Jumapili jioni.
Advertisement
Advertisement





