Back to home
Mkutano wa faragha wa kutatua mgomo wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege waendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
1h ago
Maafisa wakuu wa Wizara ya Uchukuzi, wanachama wa Muungano wa Wafanyakazi wa Viwanja vya Ndege (KAWU), Tume ya Kuratibu Mishahara pamoja na Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini (COTU) kwa sasa wanaendelea na mkutano wa faragha hapa Nairobi, katika juhudi za kutatua mgomo huo
Advertisement
Advertisement





