Back to home
Mwenyekiti wa chama cha wakuu wa shule za sekondari asema hakuna fedha za ruzuku za shule
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 1, 2026
1h ago
Licha ya Rais William Ruto kusisitiza kuwa serikali tayari imetuma fedha za ruzuku ya shule, kwa zaidi ya wanafunzi milioni tatu wa sekondari muhula huu, Mwenyekiti wa Chama cha Wakuu wa Shule za Sekondari nchini, Willie Kuria, amepinga kauli hiyo.
Subscribe and watch NTV Kenya
Advertisement
Advertisement





