Back to home
McCarthy awajumuisha nyota watatu wa Rising Stars
video
C
Citizen TV (Youtube)September 1, 2026
1h ago
Kocha wa timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars, Benni McCarthy, amewajumuisha nyota watatu wa Rising Stars katika kikosi chake kwa mechi za kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2027.
Aldrin Kibet wa Celta Vigo, Amos Wanjala wa Valencia ya Uhispania na Kevin Wangaya wa Nairob
Advertisement
Advertisement





