Back to home
Matamshi ya mbunge mteule wa Uasin Gishu Joseph Wainaina yazua mtafaruku
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 2, 2026
3h ago
Baadhi ya wanasiasa Narok wameungana kukashifu matamshi ya Mbunge Mteule wa Uasin Gishu, Joseph Wainaina, anayekabiliwa na shutuma za kuwatisha wanajamii wanaopinga kuchaguliwa tena kwa Rais William Ruto mwaka ujao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement
Advertisement





