Back to home

Polisi wawasaka washukiwa wa mauaji na wizi wa mifugo katika mpaka wa West Pokot na Turkana

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 2, 2026
1h ago
Siku tano baada ya washukiwa wa ujambazi wa mifugo kuwaua watu watatu na mifugo kuibwa katika mpaka wa West Pokot na Turkana, Hakuna aliyekamatwa kufikia sasa. polisi wanasema maafisa wao wako katika eneo hilo wakiwasaka majahili hao na kudhibiti hali ya usalama. Subscribe and
Advertisement