Back to home
Wahudumu wa afya ya jamii Kilifi wataka wawezeshwe kiuchumi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Siku chache tu baada ya rais Wiliam Ruto kuzindua mpango wa kuwapa wahudumu wa afya ya jamii vifaa vya kufanyia kazi, sasa wahudumu wa afya kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali na wahisani kuwawezesha kiuchumi.
Advertisement
Advertisement





