Back to home
Malkia Strikers kupigania ubingwa dhidi ya Misri katika fainali ya voliboli
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
2h ago
Malkia Strikers ya Kenya itachuana na Misri katika fainali ya voliboli, huku timu hizo zikisaka tiketi ya kushiriki Michezo ya Olimpiki ya 2028. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa saa kumi na mbili jioni
Advertisement
Advertisement





