Back to home
Obunga FC na Plateau Queens kutetea mataji ya Chapa Dimba
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
2h ago
Mabingwa watetezi wa Nyanza na kitaifa, Obunga FC na Plateau Queens, maarufu kama Nyakach Girls, watawania kutetea mataji yao katika fainali za ukanda wa Nyanza za Safaricom Chapa Dimba.
Fainali hizo zinatarajiwa kuanza kutifua kivumbi mwishoni mwa wiki hii.
Advertisement
Advertisement




