Back to home

Wanasiasa saba wajitosa kinyang’anyiro cha ugavana NairobiScript:

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 6, 2026
1h ago
Kinyang’anyiro cha kutafuta kiti cha ugavana wa kaunti ya Nairobi kimeonekana kushika kasi, huku wanasiasa saba tayari wakitangaza azma ya kuwania wadhifa huo. Wa punde zaidi kutangaza kujiunga na kinyang’anyiro hicho ni Mbunge wa zamani wa Starehe, Askofu Margaret Wanjiru.
Advertisement