Back to home
Samaki wapungua Ziwa Baringo, wavuvi washauriwa kutumia nyavu zilizoidhinishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Idadi ya samaki katika Ziwa Baringo imeelezwa kupungua, hali inayowatia wasiwasi wavuvi na wadau wa sekta hiyo. Wavuvi wameshauriwa kutumia nyavu zilizoidhinishwa ili kusaidia kulinda mazalia ya samaki na kuhakikisha uvuvi endelevu
Advertisement
Advertisement




