Back to home
Viongozi wa Lamu waahidi kumuunga mkono Ruto kuelekea uchaguzi wa 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Viongozi wa Lamu wameahidi kumuunga mkono Rais William Ruto kuelekea uchaguzi wa 2027, wakitaja masuala ya usalama na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kama baadhi ya vigezo vya kumpigia debe.
Advertisement
Advertisement




