Back to home
Timu 12 zafuzu fainali za Chapa Dimba Nyanza
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Timu hizo 12 zilijinyakulia ubingwa wa kaunti zao baada ya kushinda fainali za kaunti.
Huko Kisumu, Obunga FC iliichapa Julu Nyambugu 4-1 kwa mikwaju ya penalti baada ya mechi kumalizika kwa sare tasa. Mabingwa watetezi mara mbili, Nyakach Girls, walihifadhi taji lao la kaunti k
Advertisement
Advertisement





