Back to home
Viutravel yaitangaza Barbados kama kivutio cha watalii Wakenya
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Kampuni ya Viutravel imeshirikiana na Ubalozi wa Barbados nchini kuitangaza nchi hiyo kama eneo bora kwa Wakenya kutalii.
Ushirikiano huo umetiwa saini na Mkurugenzi wa Masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati katika Mamlaka ya Utalii ya Barbados, Kyle Gittens, pamoja na Kui Murii
Advertisement
Advertisement





