Back to home
Moto waendelea kuwaka katika msitu wa Mlima Kenya
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2026
2h ago
Moto bado unaendelea kuwaka katika msitu wa Mlima Kenya huku juhudi za kuuzima zikiendelea. Waziri wa Mazingira Deborah Barasa ametembelea Meru kufuatilia shughuli za kuzima moto huo.
Advertisement
Advertisement





